RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakisalimiana na kuagana na Makamu wa
Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla na Viongozi mbalimbali wa
Serikali Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar
akielekea Nchi Uganda leo 8-10-2022, kuhudhuria Sherehe za Miaka 60 ya Uhuru wa
Uganda, akimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia
Suluhu HassanRais Mwinyi anakwenda nchini Uganda kuhudhuria sherehe hizo akimuwakilisha Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mh Samia Suluhu
Rais Mwinyi katika safari hiyo ameongozana na Mke wake mama
Mariam Mwinyi ambapo viongozi mbali mbali akiwemo Makamo wa Pili wa Rais ya
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla




0 Maoni