Zeco walia na wezi wa Miundombinu ya umeme, yataka wananchi wasaidie katika kuilinda
SK NEWS
August 30, 2021
Watendaji wa shirika la umeme Zanzibar Zeco wakitekeleza wajibu wao wakuboresha miundombinu ya umeme katika moja ya maeneo visiwani Zanzibar
Shirika la Umeme
Zanzibar ZECO limewataka wananchi kuacha tabia ya kuaharibu miundombinu ya
umeme katika maeneo yao kwakua kufanya hivyo kunasababisha hasara kwa shirika
na Jamii kwa ujumla.
Amesema kumekua na tabia za baadhi ya watu
wasiokuwa wazalendo nan chi yao wamekua wakikata waya za transfoma na
kusababisha kukosekana kwa huduma ya Umeme katika laini zao au kuengeneza
shoti inayokwenda kuharibu vitu vya wananchi.
Shirika la Umeme
Zanzibar ZECO limewataka wananchi kuacha tabia ya kuaharibu miundombinu ya
umeme katika maeneo yao kwakua kufanya hivyo kunasababisha hasara kwa shirika
na Jamii kwa ujumla.
Amesema kumekua na tabia za baadhi ya watu
wasiokuwa wazalendo nan chi yao wamekua wakikata waya za transfoma na
kusababisha kukosekana kwa huduma ya Umeme katika laini zao au kuengeneza
shoti inayokwenda kuharibu vitu vya wananchi.
Tags:
Kuhusu SK
Naitwa Suleiman Kidudu, kwa Kifupi "SK", Kitaaluma Mimi ni Mtangazaji na Mwandishi wa Habari, najishughulisha katika kuandaa na Kutangaza Vipindi mbalimbali kuanzia Ngazi ya Habari, Siasa, Michezo, Burudani na Vipindi vya Mapenzi na Mahusiano. Kadhalika nimejikita katika Uandishi wa Habari na Makala za Kijamii, Kisiasa, Kiuchumi, Burudani na Uandishi wa Simulizi za Mahusiano ya Kimapenzi.





0 Maoni