Wafanyabiashara soko wa soko la muda la Kibanda
Maiti wameziomba mamlaka zinazohusika kulifanya soko hilo kuwa la kudumu hatua
itakayowapa uhakika wa kuwekeza mitaji mikubwa zaidi sokoni hapo.
Baadhi ya wafanyabiashara sokoni hapo wameieleza sknews
kukabiliwa na changamoto kadhaa ikiwemo uhaba wa wateja na mnada sokoni hapo
kuwa ndogo ambapo wameomba kuwekewa soko la kudumu ambalo litaingiza magari ya
abiria ambayo yataleta unafuu upande wao.
Akizungumzia ombi hilo, Mkuu wa soko la muda la
Kibandamaiti, Juma Ammbar Abeid amesema wanalifanyia Kazi swala hilo na kuwataka
wafanya biashara hao kuwa na subra.





0 Maoni