Wachezaji wa
Simba FC wanawatariwa kuwanza kurejea Jijini Dar Es Salam kwaajili ya
Maandalizi ya Safari kwaajili ya Kambi Nchini Morocco.
Simba inatarajia
kusafirisha wachezaji na Benchi la ufundi kwaajolim ya maandalizi ya msimu mpya
wa Ligi Kuu Tanzania Bara inayotarajiwa kuanza kutimua Vumbi Mwezi September.
Tayari Matajiri
hao wa Kariakoo wameshamtanguliza Mtendaji Mkuu wa Simba Sc Barbara Gonzalez nchini Morocco kwaajili ya kuandaa taratibu
kwa ajili ya kambi ya mabingwa hao .





0 Maoni