Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akisalimiana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani anaeshughulikia mambo
ya Siasa Mhe. Balozi Victoria Nuland, wakati Balozi Nuland alipofika Ikulu
Jijini Dar es salaam leo Agosti 04, 2021.
Rais Samia akunata na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani . Balozi Victoria Nuland,
SK NEWS
August 04, 2021
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akizungumza na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani anaeshughulikia mambo
ya Siasa Mhe. Balozi Victoria Nuland, wakati Balozi Nuland alipofika Ikulu
Jijini Dar es salaam leo Agosti 04, 2021.
Tags:
Kuhusu SK
Naitwa Suleiman Kidudu, kwa Kifupi "SK", Kitaaluma Mimi ni Mtangazaji na Mwandishi wa Habari, najishughulisha katika kuandaa na Kutangaza Vipindi mbalimbali kuanzia Ngazi ya Habari, Siasa, Michezo, Burudani na Vipindi vya Mapenzi na Mahusiano. Kadhalika nimejikita katika Uandishi wa Habari na Makala za Kijamii, Kisiasa, Kiuchumi, Burudani na Uandishi wa Simulizi za Mahusiano ya Kimapenzi.








0 Maoni