RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akimsikiliza Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi Tanzania Balozi
Mohamed Hamza na (kulia kwa Rais) Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi
Tanzania Mhe.Anne Makinda walipofika Ikulu Zanzibar kwa ajili ya mazungumzo
yaliofanyika leo 12/8/2021, mazungumzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Ikulu
Jijini Zanzibar
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akikabidhiwa makabrasha ya Sensa na Kamisaa wa Sensa ya Watu
na Makazi Tanzania Mhe.Anne Makinda baada ya kumaliza mazungumzo yao
alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo na Ujumbe wake, mazungumzo hayo
yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi Tanzania Mhe. Anne Makinda na Mtakimwi Mkuu wa Zanzibar Bi.Mayasa Mahfoudh na (kulia kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Mhe Jamal Kassim Ali na Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi kutoka Zanzibar.Balozi Mohamed Haji Hamza
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi Tanzania Mhe. Anne Makinda na Mtakimwi Mkuu wa Zanzibar Bi.Mayasa Mahfoudh na (kulia kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Mhe Jamal Kassim Ali na Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi kutoka Zanzibar.Balozi Mohamed Haji Hamza





0 Maoni