Manahodha wanaotembeza watalii Visiwani waaswa kulinda rasilimali za Bahari
SK NEWS
August 11, 2021
Meneja
wa Hifadhi ya Kisiwa cha Mnemba na Ghuba ya Chwaka Mohd Chum Juma kutoka Idara
ya hifadhi za maeneo ya bahari amewataka Manahodha wa boti za kuchukulia
watalii kuwa na utaratibu mzuri wanapofanya shughuli zao za kitalii bila ya
kuharibu rasilimali za bahari.
Tags:
Kuhusu SK
Naitwa Suleiman Kidudu, kwa Kifupi "SK", Kitaaluma Mimi ni Mtangazaji na Mwandishi wa Habari, najishughulisha katika kuandaa na Kutangaza Vipindi mbalimbali kuanzia Ngazi ya Habari, Siasa, Michezo, Burudani na Vipindi vya Mapenzi na Mahusiano. Kadhalika nimejikita katika Uandishi wa Habari na Makala za Kijamii, Kisiasa, Kiuchumi, Burudani na Uandishi wa Simulizi za Mahusiano ya Kimapenzi.





0 Maoni