Jeshi la Polisi Jijini Dar Es Salam asubuh ya leo wamewatawanya wafuasi wa Chama cha Democrasia na Maendeleo Chadema waliokuwa wamekusanyika nje ya Mahakama ya Kisutu kufuatia kesi ya Mwenyekiti wa Chama hicho Freeman Mbowe.

 Kesi hiyo ambayo ilikuwa ikiendeshwa leo kwa njia ya mtandao hata hivyo imeahirishwa kutokana na changamoto za kimawasiliano.

ANGALIA (VIDEO) TUKIO ZIMA NJE YA  MAHAKAMA YA KISUTU POLISI WALIVYOWATAWANYA CHADEMA.