Klabu ya Al Ahly
Nchini Misri imefikia makubaliano na Matajiri wa Mtaa wa Msimbazi Kariakoo
Simba SC juu ya uhamisho wa winga wake hatari Luis Jose Miquissone mzaliwa.
Miquissone
mwenye Umri wa Miaka 26 Raia wa Msumbiji usajili wake utaigharimu Miamba hiyo
ya Afrika ada ya uhamisho wa US$900,000 sawa na Shillingi za Kitanzania Bilioni
2.1 ambapo atasaini mkataba wa miaka
minne.





0 Maoni