Zanzibar
Waziri wa Nchi
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa,Serikali za Mitaa na Idara Maalum za Smz
amewataka watendani walio chini ya Wizara hiyo kuacha kufanya kazi kwa mazoea.
Amesema hayo wakati
akizungumza na watendaji wa Wizara hiyo ikiwemo Madiwani wa Mkoa Mjini
Magharibi amesema kumekua na Changamoto za kiutendaji ambazo taarifa zake
hazifiki kwa Viongozi wa Juu jambo ambalo linachangia kurudisha nyuma ufanisi
na kupelekea uwepo wa mchanganyiko wa Taarifa kwa Jamii.
Nae Mkuu wa Mkoa wa
Mjini Mgharibi amepongeza juhudi wa Waziri huyo katika Maamuzi ya kuboresha
Usimamizi katika masoko huku akiahidi kusimamia fedha makusanyo ili kuongeza
Mapato Serikalini,





0 Maoni