Kenya imerekodi visa 566 vipyaVya mahitaji ya COVID-19 kutoka kwa sampuli 5,344 katika muda wa saa 24 zilizopita.
Kufikia sasa
Kenya imesail Jumla ya visa 187,525 kutoka kwa sampul 12,001,786
Katika visa hivi vipya, 546 ni Raia wa Kenya huku 20 wakiwa raia wakigeni, 318 ni
wanaume 248 ni wanawake
Mgonjwa
mwenye umri wa chini anamiezi 11 huku
mwenve umri wa juu akiwana miaka 97.
Asilimia ya maambukizi
ya corona Nchini Kenya yamefikia
asilimia 10.6%.
Kulingana na Takwimu iliyotolewa na Wizara ya Afya
Nchini Kenya imeeleza Wagonjwa 1.934 wamepona virusi vya corona, 1,693 walipona
wakiwa Nyumbani huku 241 walipona wakiwa katika hospitali mbali mbali na kufikisha
idadi ya jumla ya watu 176,456 waliopona.
Taarifa hiyo
imeelezea watu 11 wamefariki kwa ugonjwa huo na kuifanya Idadi ya watu waliofariki kwa
Corona Nchini Humo kufikia 3,716.
Jumia ya wagoniwa 1,196 wamelazwa hadi hivi sasa
katika vituo mbali mbali vya Afya.huku wengine
4.825 wakiuguzwa nyumban.
Wagonjwa 116 wamo
katika kitengo cha wagonjwa mahututi (ICU)





0 Maoni