Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Mwinyi ametengua uteuzi wa MKURUGENZI WA IDARA YA NYARAKA NA KUMBUKUMBU, ZANZIBAR , BWANA SALUM SULEIMAN SALUM kuanzia leo tarehe 26/Julai,2021.

 Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na kutiwa saini na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Zanzibar Mhandisi Zena A. Said.