Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia
Suluhu Hassan
akiondoka katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Maputo nchini Msumbiji
mara baada ya kushiriki Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa
Nchi na Serikali
wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afri
ka SADC
uliofanyika leo tarehe 23
Juni, 2021 katika ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa
Joaquim Chissano
Maputo Msumbiji.





0 Maoni